Chapa ya Youversion
Ikoni ya Utafutaji

Wakolosai 3:22-24

Wakolosai 3:22-24 NEN

Ninyi watumwa, watiini mabwana zenu wa hapa duniani katika mambo yote. Fanyeni hivyo si wakiwepo tu, wala si kwa kutafuta upendeleo wao, bali kwa moyo mnyofu na kumcha Bwana. Lolote mfanyalo, fanyeni kwa moyo kama watu wanaomtumikia Bwana, na si wanadamu, kwa kuwa mnajua kwamba mtapokea urithi wenu kutoka kwa Bwana ukiwa thawabu yenu. Ni Bwana Yesu Kristo mnayemtumikia.

Mipango ya Kusoma Bila Malipo na Ibada zinazohusiana na Wakolosai 3:22-24