Chapa ya Youversion
Ikoni ya Utafutaji

Amosi 7:8

Amosi 7:8 NEN

Naye BWANA akaniuliza, “Je, Amosi unaona nini?” Nikamjibu, “Uzi wa timazi.” Kisha Bwana akasema, “Tazama, ninaweka uzi wa timazi miongoni mwa watu wangu Israeli; sitawahurumia tena.

Mipango ya Kusoma Bila Malipo na Ibada zinazohusiana na Amosi 7:8