Chapa ya Youversion
Ikoni ya Utafutaji

Matendo 6:8-10

Matendo 6:8-10 NEN

Stefano, akiwa amejaa neema na nguvu za Mungu, alifanya ishara na miujiza mikubwa miongoni mwa watu. Hata hivyo, ukainuka upinzani wa watu wa Sinagogi la Watu Huru (kama lilivyokuwa linaitwa), la Wayahudi wa Kirene na wa Iskanderia, na wengine kutoka Kilikia na Asia. Watu hawa wakaanza kupingana na Stefano. Lakini hawakuweza kushindana na hekima yake wala huyo Roho ambaye alisema kwake.

Mipango ya Kusoma Bila Malipo na Ibada zinazohusiana na Matendo 6:8-10