Chapa ya Youversion
Ikoni ya Utafutaji

2 Samweli 16:11-12

2 Samweli 16:11-12 NEN

Ndipo Daudi akamwambia Abishai na maafisa wake wote, “Mwanangu, yeye ambaye ametoka viunoni mwangu mwenyewe, anajaribu kuuondoa uhai wangu. Je, si zaidi sana kwa huyu Mbenyamini! Mwacheni, acha alaani, kwa maana BWANA amemwambia afanye hivyo. Inawezekana kwamba BWANA ataona dhiki yangu na kunilipa mema kwa ajili ya laana ninayopokea leo.”

Mipango ya Kusoma Bila Malipo na Ibada zinazohusiana na 2 Samweli 16:11-12

YouVersion hutumia vidakuzi kubinafsisha matumizi yako. Kwa kutumia tovuti yetu, unakubali matumizi yetu ya vidakuzi kama ilivyoelezwa katika Sera yetu ya Faragha