Chapa ya Youversion
Ikoni ya Utafutaji

2 Wafalme 20:1

2 Wafalme 20:1 NEN

Katika siku hizo, Hezekia akaugua, naye akawa karibu kufa. Nabii Isaya mwana wa Amozi akaenda kwake na kumwambia, “Hili ndilo asemalo BWANA: Tengeneza mambo ya nyumba yako, kwa sababu utakufa, hutapona.”