Chapa ya Youversion
Ikoni ya Utafutaji

1 Yohana 2:15-16

1 Yohana 2:15-16 NEN

Msiupende ulimwengu wala mambo yaliyo ulimwenguni. Kama mtu yeyote akiupenda ulimwengu, upendo wa Baba haumo ndani yake. Kwa maana kila kitu kilichomo ulimwenguni, yaani tamaa ya mwili, tamaa ya macho na kiburi cha uzima, havitokani na Baba bali hutokana na ulimwengu.

Mipango ya Kusoma Bila Malipo na Ibada zinazohusiana na 1 Yohana 2:15-16