Chapa ya Youversion
Ikoni ya Utafutaji

1 Wakorintho 15:54-55

1 Wakorintho 15:54-55 NENO

Kwa hiyo, mwili huu wa kuharibika utakapovaa kutokuharibika, nao huu mwili wa kufa utakapovaa kutokufa, ndipo lile neno lililoandikwa litakapotimia: “Mauti imemezwa kwa kushinda.” “Kuko wapi, ee mauti, kushinda kwako? Uko wapi, ee mauti, uchungu wako?”