1 Wakorintho 15:54-55
1 Wakorintho 15:54-55 NENO
Kwa hiyo, mwili huu wa kuharibika utakapovaa kutokuharibika, nao huu mwili wa kufa utakapovaa kutokufa, ndipo lile neno lililoandikwa litakapotimia: “Mauti imemezwa kwa kushinda.” “Kuko wapi, ee mauti, kushinda kwako? Uko wapi, ee mauti, uchungu wako?”