1
Zaburi 32:8
Biblia Habari Njema
Mungu asema: “Nitakufunza na kukuonesha njia unayopaswa kufuata. Nitakushauri kwa uangalifu mkubwa.
Linganisha
Chunguza Zaburi 32:8
2
Zaburi 32:7
Wewe ndiwe kinga yangu; wewe wanilinda katika taabu. Umenijalia shangwe za kukombolewa.
Chunguza Zaburi 32:7
3
Zaburi 32:5
Kisha nilikiri makosa yangu kwako; wala sikuuficha uovu wangu. Nilisema ninakuungamia makosa yangu ee Mwenyezi-Mungu, ndipo nawe ukanisamehe dhambi zangu zote.
Chunguza Zaburi 32:5
4
Zaburi 32:1
Heri yake mtu aliyesamehewa kosa lake, mtu ambaye dhambi yake imeondolewa kabisa.
Chunguza Zaburi 32:1
5
Zaburi 32:2
Heri mtu ambaye Mwenyezi-Mungu hamwekei hatia, mtu ambaye hana hila moyoni mwake.
Chunguza Zaburi 32:2
6
Zaburi 32:6
Kwa hiyo, kila mwaminifu na akuletee maombi; jeshi likaribiapo au mafuriko, hayo hayatamfikia yeye.
Chunguza Zaburi 32:6
Nyumbani
Biblia
Mipango
Video