1
2 Mambo ya Nyakati 26:5
Biblia Habari Njema
Alimtumikia Mwenyezi-Mungu kwa uaminifu wakati wa kuishi kwa Zekaria, aliyemfundisha kumtii Mungu. Kadiri alivyomtafuta Mungu, Mungu alimfanikisha.
Linganisha
Chunguza 2 Mambo ya Nyakati 26:5
2
2 Mambo ya Nyakati 26:16
Wakati mfalme Uzia alipokuwa na nguvu, alijaa kiburi ambacho kilisababisha maangamizi yake. Alimwasi Mwenyezi-Mungu, Mungu wake kwa kuingia hekaluni akikusudia kufukiza ubani madhabahuni.
Chunguza 2 Mambo ya Nyakati 26:16
Nyumbani
Bibilia
Mipango
Video