1
1 Samueli 21:12-13
Biblia Habari Njema
Maneno hayo Daudi hakuweza kuyasahau, akaanza kumwogopa sana Akishi mfalme wa Gathi. Hivyo, akabadilisha tabia yake, akijifanya mwendawazimu, akawa anakwaruzakwaruza kwenye malango ya mji, na mate yake akayaacha yatiririke kwenye ndevu zake.
Linganisha
Chunguza 1 Samueli 21:12-13
Nyumbani
Biblia
Mipango
Video