1
Mwanzo 38:10
Biblia Habari Njema
Tendo hilo likamwudhi Mwenyezi-Mungu, akamuua Onani pia.
Linganisha
Chunguza Mwanzo 38:10
2
Mwanzo 38:9
Lakini Onani alijua kwamba hao watoto wasingekuwa wake. Kwa hiyo, alipolala na mke wa nduguye, alimwaga chini mbegu ya uzazi, asije akampatia nduguye watoto.
Chunguza Mwanzo 38:9
Nyumbani
Bibilia
Mipango
Video