1
Luka 15:20
Swahili Roehl Bible 1937
Kisha akaondoka, akaenda kwa baba yake. Akingali mbali bado, baba yake akamwona, akamwonea uchungu, akapiga mbio, akamkumbatia shingoni, akamnonea.
Linganisha
Chunguza Luka 15:20
2
Luka 15:24
Kwani huyu mwanangu alikuwa amekufa, naye amefufuka; alikuwa amepotea, naye ameonekana tena. Wakaanza kushangilia.
Chunguza Luka 15:24
3
Luka 15:7
Nawaambiani: Vivyo hivyo mkosaji mmoja anapojuta, kutakuwako huko mbinguni furaha inayoipita ile iliyoko kwa ajili ya waongofu tisini na tisa wasiopaswa na kujuta.
Chunguza Luka 15:7
4
Luka 15:18
Nitainuka, nitakwenda kwa baba yangu na kumwambia: Baba, nimemkosea Mungu na wewe
Chunguza Luka 15:18
5
Luka 15:21
Mwanawe akamwambia: Baba, nimemkosea Mungu na wewe; hainipasi tena kuitwa mwana wako.
Chunguza Luka 15:21
6
Luka 15:4
Kwenu yuko mtu mwenye kondoo mia akipoteza mmoja wao, asiyewaacha wale tisini na tisa porini, aende kumtafuta yule aliyepotea, mpaka atakapomwona?
Chunguza Luka 15:4
Nyumbani
Bibilia
Mipango
Video