1
2 Mambo ya Nyakati 26:5
Swahili Revised Union Version
Akajitia nia amtafute Mungu katika siku za Zekaria, aliyekuwa na fahamu katika maono ya Mungu; na muda alipomtafuta BWANA, Mungu alimfanikisha.
Linganisha
Chunguza 2 Mambo ya Nyakati 26:5
2
2 Mambo ya Nyakati 26:16
Lakini alipokuwa na nguvu, moyo wake ulitukuka, hata akafanya maovu, akamwasi BWANA, Mungu wake; kwani aliingia hekaluni mwa BWANA, ili afukize uvumba juu ya madhabahu ya kufukizia.
Chunguza 2 Mambo ya Nyakati 26:16
Nyumbani
Bibilia
Mipango
Video