1
Hos 8:7
Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia
Kwa maana wao hupanda upepo, nao watavuna tufani; nafaka haina bua; machipuko yake hayatoi masuke; hata ikiwa yatoa, wageni watayameza.
Linganisha
Chunguza Hos 8:7
2
Hos 8:4
Wamesimamisha wafalme, lakini si kwa shauri langu; wamejifanyia wakuu, lakini nalikuwa sina habari; kwa fedha yao na dhahabu yao wamejifanyizia sanamu, kusudi wakatiliwe mbali.
Chunguza Hos 8:4
Nyumbani
Biblia
Mipango
Video