Hosea 8:7
Hosea 8:7 Swahili Revised Union Version (SRUV)
Kwa maana wao hupanda upepo, nao watavuna tufani; nafaka haina bua; machipuko yake hayatoi masuke; hata ikiwa yatoa, wageni watayameza.
Shirikisha
Soma Hosea 8Hosea 8:7 Biblia Habari Njema (BHN)
“Wanapanda upepo, watavuna kimbunga! Mimea yao ya nafaka iliyo mashambani haitatoa nafaka yoyote. Na hata kama ikizaa, mazao yake yataliwa na wageni.
Shirikisha
Soma Hosea 8