1
Zaburi 92:12-13
Neno: Maandiko Matakatifu 2024
Wenye haki watastawi kama mtende, watakuwa kama mwerezi wa Lebanoni, waliopandwa katika nyumba ya Mwenyezi Mungu, watastawi katika nyua za Mungu wetu.
Linganisha
Chunguza Zaburi 92:12-13
2
Zaburi 92:14-15
Wakati wa uzee watakuwa bado wanazaa matunda, watakuwa wabichi tena wamejaa nguvu, wakitangaza, “Mwenyezi Mungu ni mkamilifu; yeye ni Mwamba wangu, na ndani yake hamna uovu.”
Chunguza Zaburi 92:14-15
Nyumbani
Bibilia
Mipango
Video