1
Zaburi 84:11
Neno: Maandiko Matakatifu 2024
Kwa kuwa Bwana Mwenyezi Mungu ni jua na ngao; Mwenyezi Mungu hutoa wema na heshima; hakuna kitu chema anachowanyima wale ambao hawana hatia.
Linganisha
Chunguza Zaburi 84:11
2
Zaburi 84:10
Siku moja katika nyua zako ni bora kuliko siku elfu mahali pengine; afadhali ningekuwa bawabu katika nyumba ya Mungu wangu kuliko kukaa katika mahema ya waovu.
Chunguza Zaburi 84:10
3
Zaburi 84:5
Heri wale ambao nguvu zao ziko kwako, na njia ziendazo Sayuni zimo mioyoni mwao.
Chunguza Zaburi 84:5
4
Zaburi 84:2
Nafsi yangu inatamani sana, naam, hata kuona shauku, kwa ajili ya nyua za Mwenyezi Mungu; moyo wangu na mwili wangu vinamlilia Mungu Aliye Hai.
Chunguza Zaburi 84:2
Nyumbani
Biblia
Mipango
Video