1
Zaburi 12:6
Neno: Maandiko Matakatifu 2024
Maneno ya Mwenyezi Mungu ni safi, kama fedha iliyosafishwa katika tanuru, iliyosafishwa mara saba.
Linganisha
Chunguza Zaburi 12:6
2
Zaburi 12:7
Ee Mwenyezi Mungu, utatuweka salama na kutulinda na kizazi hiki milele.
Chunguza Zaburi 12:7
3
Zaburi 12:5
“Kwa sababu wanyonge wanaonewa, na wahitaji wanalia kwa uchungu, nitainuka sasa,” asema Mwenyezi Mungu. “Nitawalinda kutokana na wale wenye nia mbaya juu yao.”
Chunguza Zaburi 12:5
Nyumbani
Bibilia
Mipango
Video