1
Yeremia 6:16
Neno: Maandiko Matakatifu 2024
Hivi ndivyo asemavyo Mwenyezi Mungu: “Simama kwenye njia panda utazame, ulizia mapito ya zamani, ulizia wapi ilipo njia nzuri, uifuate hiyo, nanyi mtapata amani nafsini mwenu. Lakini ninyi mlisema, ‘Hatutaipita njia hiyo.’
Linganisha
Chunguza Yeremia 6:16
2
Yeremia 6:14
Wanafunga majeraha ya watu wangu bila uangalifu. Wanasema, ‘Amani, amani,’ wakati hakuna amani.
Chunguza Yeremia 6:14
3
Yeremia 6:19
Sikia, ee nchi: Ninaleta maafa juu ya watu hawa, matunda ya mipango yao, kwa sababu hawakusikiliza maneno yangu na wameikataa sheria yangu.
Chunguza Yeremia 6:19
4
Yeremia 6:10
Niseme na nani na kumpa onyo? Ni nani atakayenisikiliza mimi? Masikio yao yameziba, kwa hiyo hawawezi kusikia. Neno la Mwenyezi Mungu ni chukizo kwao, hawalifurahii.
Chunguza Yeremia 6:10
Nyumbani
Bibilia
Mipango
Video