1
Ezekieli 23:49
Neno: Maandiko Matakatifu 2024
Utapata adhabu kwa ajili ya uasherati wako na kuchukua matokeo ya dhambi zako za uasherati. Ndipo utakapojua kuwa Mimi ndimi Bwana Mungu Mwenyezi.”
Linganisha
Chunguza Ezekieli 23:49
2
Ezekieli 23:35
“Kwa hiyo hili ndilo asemalo Bwana Mungu Mwenyezi: Kwa kuwa ulinisahau mimi na kunitupa nyuma yako, lazima ubebe matokeo ya uasherati wako na ukahaba wako.”
Chunguza Ezekieli 23:35
Nyumbani
Biblia
Mipango
Video