1
Ezekieli 12:28
Neno: Maandiko Matakatifu 2024
“Kwa hiyo, waambie, ‘Hili ndilo asemalo Bwana Mungu Mwenyezi: Hakuna maneno yangu yatakayocheleweshwa tena zaidi, lolote nisemalo litatimizwa, asema Bwana Mungu Mwenyezi.’ ”
Linganisha
Chunguza Ezekieli 12:28
2
Ezekieli 12:25
Lakini Mimi Mwenyezi Mungu nitasema neno nitakalo, nalo litatimizwa bila kuchelewa. Kwa kuwa katika siku zako, ewe nyumba ya uasi, nitatimiza kila nisemalo, asema Bwana Mungu Mwenyezi.’ ”
Chunguza Ezekieli 12:25
3
Ezekieli 12:2
“Mwanadamu, unaishi miongoni mwa watu waasi. Wana macho ya kuona, lakini hawaoni, na masikio ya kusikia lakini hawasikii, kwa kuwa ni watu waasi.
Chunguza Ezekieli 12:2
Nyumbani
Bibilia
Mipango
Video