Ezekieli 12:2
Ezekieli 12:2 Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia (SUV)
Mwanadamu, wewe unakaa kati ya nyumba iliyoasi, watu ambao wana macho ya kuona, ila hawaoni, wana masikio ya kusikia, ila hawasikii; kwa maana ni nyumba iliyoasi.
Shirikisha
Soma Ezekieli 12Ezekieli 12:2 Biblia Habari Njema (BHN)
“Wewe mtu! Wewe unakaa kati ya watu waasi. Wana macho lakini hawaoni; wana masikio lakini hawasikii.
Shirikisha
Soma Ezekieli 12