1
2 Samweli 5:4
Neno: Maandiko Matakatifu 2024
Daudi alikuwa na umri wa miaka thelathini alipoanza kutawala, naye akatawala Israeli kwa miaka arobaini.
Linganisha
Chunguza 2 Samweli 5:4
2
2 Samweli 5:19
kwa hiyo Daudi akamuuliza Mwenyezi Mungu, “Je, niende kuwashambulia Wafilisti? Je, utawatia mikononi mwangu?” Mwenyezi Mungu akamjibu, “Nenda, kwa maana hakika nitawatia Wafilisti mikononi mwako.”
Chunguza 2 Samweli 5:19
Nyumbani
Bibilia
Mipango
Video