1
1 Samweli 4:18
Neno: Maandiko Matakatifu 2024
Mara alipotaja Sanduku la Mungu, Eli alianguka kwa nyuma kutoka kiti chake kando ya lango. Shingo yake ikavunjika naye akafa, kwa kuwa alikuwa mzee tena mzito. Alikuwa mwamuzi wa Israeli kwa miaka arobaini.
Linganisha
Chunguza 1 Samweli 4:18
2
1 Samweli 4:21
Alimwita yule mtoto Ikabodi, akisema, “Utukufu umeondoka katika Israeli,” kwa sababu ya kutekwa kwa Sanduku la Mungu na vifo vya baba mkwe na mumewe.
Chunguza 1 Samweli 4:21
3
1 Samweli 4:22
Akasema, “Utukufu umeondoka katika Israeli, kwa kuwa Sanduku la Mungu limetekwa.”
Chunguza 1 Samweli 4:22
Nyumbani
Bibilia
Mipango
Video