1
1 Samweli 15:22
Neno: Maandiko Matakatifu 2024
Lakini Samweli akajibu: “Je, Mwenyezi Mungu anafurahia sadaka za kuteketezwa na dhabihu kama vile kuitii sauti ya Mwenyezi Mungu? Kutii ni bora kuliko dhabihu, nako kusikia ni bora kuliko mafuta ya kondoo dume.
Linganisha
Chunguza 1 Samweli 15:22
2
1 Samweli 15:23
Kwa maana kuasi ni kama dhambi ya uaguzi, nao ukaidi ni kama uovu wa kuabudu sanamu. Kwa sababu umelikataa neno la Mwenyezi Mungu, naye amekukataa wewe kuendelea kuwa mfalme.”
Chunguza 1 Samweli 15:23
3
1 Samweli 15:29
Yeye aliye Utukufu wa Israeli hasemi uongo wala hana kigeugeu; kwa kuwa yeye si mwanadamu, hata abadili nia yake.”
Chunguza 1 Samweli 15:29
4
1 Samweli 15:11
“Ninasikitika kwamba nimemfanya Sauli kuwa mfalme, kwa sababu ameacha kunifuata mimi na hakutimiza maagizo yangu.” Samweli akafadhaika, naye akamlilia Mwenyezi Mungu usiku ule wote.
Chunguza 1 Samweli 15:11
Nyumbani
Bibilia
Mipango
Video