Mipango ya Kusoma Bila Malipo na Ibada zinazohusiana na Lk 10:27

Mtazamo Wa Kibiblia Kuhusu Mabadiliko Katika Jamii
Siku 5
Vikundi vingi vya Kikristo vinajishughulisha kukimu mahitaji ya kiroho ama ya kimwili. Tunafaa kuyapa yapi kipaumbele kama Wakristo? Tunaweza kujifunza nini kutokana na Biblia kuhusu mada huu?

Anza Tena
Siku 7
Mwaka mpya. Siku Mpya. Mungu aliumba mabadiliko haya ili kutukumbusha kwamba Yeye ni Mungu wa Mwanzo Mpya. Ikiwa Mungu anaweza kusema ulimwengu uwepo, bila shaka anaweza kusema katika giza la maisha yako, akikutengenezea mwanzo mpya. Usipende tu mwanzo mpya! Kama mpango huu wa kusoma. Furahia!

Fungua Milango. Fungua Mioyo.
8 Siku
Tukiwa na milango iliyofunguliwa na mioyo iliyofunguliwa, tunaweza kuwakaribisha wengine mahali watakapoonekana, wanapopendwa na pale wanapothaminiwa. Katika mfululizo huu wa siku nane, tunakualika uangalie kwa karibu mifano na hadithi za ukarimu zinazopatikana katika Biblia na uwe na muda wa kutafakari jinsi wewe unavyoweza kufanya ukarimu vizuri kwa kutumia maisha yako mwenyewe.

Mifano ya Yesu
Siku 9
Yesu alitumia hadithi za vitendo na ubunifu kuelezea ufalme wa Mungu. Video fupi inaonyesha mojawapo ya mafundisho ya Yesu kwa kila siku ya mpango wa sehemu tisa.

Tafakari Kuhusu Haki
31 Siku
Mfululizo wa tafakari ya kila siku kuhusu haki, ulioandikwa na wanawake kutoka kote katika dunia ya Jeshi la Wokovu. Maswala ya haki ya jamii yako mbele sana ya mawazo yetu siku hizi. Mkusanyo huu wa tafakari kuhusu haki ya jamii umeandikwa na wanawake kutoka kote duniani wenye nia na hamu ya kuwasaidia wengine katika jina la Kristo.