YouVersion logga
BibelnLäsplanerVideor
Skaffa appen
Språkväljare
Sök ikon

Populära bibelverser från Yohane 5

1

Yohane 5:24

BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA

SCLDC10

“Kweli nawaambieni, anayesikia neno langu, na kumwamini yule aliyenituma, anao uhai wa milele. Hatahukumiwa kamwe, bali amekwisha pita kutoka kifoni na kuingia katika uhai.

Jämför

Utforska Yohane 5:24

2

Yohane 5:6

BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA

SCLDC10

Naye alipomwona huyo mtu amelala hapo na kujua kwamba alikuwa amekaa hapo kwa muda mrefu, akamwuliza, “Je, wataka kupona?”

Jämför

Utforska Yohane 5:6

3

Yohane 5:39-40

BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA

SCLDC10

Nyinyi huyachunguza Maandiko Matakatifu mkidhani kwamba ndani yake mtapata uhai wa milele; na kumbe maandiko hayohayo yananishuhudia! Hata hivyo, nyinyi hamtaki kuja kwangu ili mpate uhai.

Jämför

Utforska Yohane 5:39-40

4

Yohane 5:8-9

BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA

SCLDC10

Yesu akamwambia, “Inuka, chukua mkeka wako utembee.” Mara huyo mtu akapona, akachukua mkeka wake, akatembea. Jambo hili lilifanyika siku ya Sabato.

Jämför

Utforska Yohane 5:8-9

5

Yohane 5:19

BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA

SCLDC10

Yesu akawaambia, “Kweli nawaambieni, Mwana hawezi kufanya kitu peke yake; anaweza tu kufanya kile anachomwona Baba akikifanya. Maana kile anachofanya Baba, Mwana hukifanya vilevile.

Jämför

Utforska Yohane 5:19

Gratis läsplaner och andakter relaterade till Yohane 5

Föregående kapitel
Nästa kapitel
YouVersion

Uppmuntrar och utmanar dig att söka Guds närhet varje dag.

Tjänst

Om

Karriärer

Volontär

Blogg

Press

Användbara länkar

Hjälp

Donera

Bibelöversättningar

Ljudbiblar

Bibelspråk

Dagens vers


En digital tjänst från

Life.Church
English (US)

©2025 Life.Church / YouVersion

IntegritetspolicyVillkor
Åtgärdsprogram för säkerhet
FacebookTwitterInstagramYouTubePinterest

Hem

Bibeln

Läsplaner

Videor