1
Marko MT. 16:15
New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921
Akawaambia, Enendem nlimwenguni mwote, mkaikhubiri injili kwa killa kiumbe.
Compare
Marko MT. 16:15ਪੜਚੋਲ ਕਰੋ
2
Marko MT. 16:17-18
Na ishara hizi zitafuatana nao waaminio; Kwa jina langu watafukuza pepo; watasema kwa ndimi mpya; watashika nyoka; hatta wakinywa kitu cha kufisha, hakitawadhuru kabisa; wataweka mikono yao juu ya wagonjwa, nao watapata afya.
Marko MT. 16:17-18ਪੜਚੋਲ ਕਰੋ
3
Marko MT. 16:16
Aaminiye na kubatizwa ataokoka; asiyeamini, atahukumiwa.
Marko MT. 16:16ਪੜਚੋਲ ਕਰੋ
4
Marko MT. 16:20
Nao wakatoka, wakakhubiri kotekote, Bwana akitenda kazi pamoja nao, na kulithubutishia neno kwa ishara zilizofuatana nalo. Amin.
Marko MT. 16:20ਪੜਚੋਲ ਕਰੋ
5
Marko MT. 16:6
Nae akawaambia, Msistaajabu; muamtafuta Yesu Mnazareti, aliyesulibiwa: amefufuka: bayupo hapa: patazameni pahali walipomweka.
Marko MT. 16:6ਪੜਚੋਲ ਕਰੋ
6
Marko MT. 16:4-5
Hatta walipotazama, wakaona ya kuwa lile jiwe limekwisha kufingirishwa; nalo lilikuwa kubwa nmo. Na wakiingia kaburini wakaona kijana ameketi upande wa kuume, amevaa vazi jeupe: wakastaajabu.
Marko MT. 16:4-5ਪੜਚੋਲ ਕਰੋ
Home
ਬਾਈਬਲ
Plans
ਵੀਡੀਓ