1
Marko MT. 15:34
New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921
Na saa tissa Yesu akapiga kelele kwa sauti kuu, Eloi, Eloi, lama sabakthani? tafsiri yake, Mungu wangu, Mungu wangu, mbona umeniacha?
Compare
Marko MT. 15:34ਪੜਚੋਲ ਕਰੋ
2
Marko MT. 15:39
Bassi yule akida, aliyesimama akimwelekea, alipoona ya kuwa alikata roho jinsi hii, akasema, Hakika mtu huyu alikuwa, Mwana wa Mungu.
Marko MT. 15:39ਪੜਚੋਲ ਕਰੋ
3
Marko MT. 15:38
Pazia la patakatifu likapasuka vipande viwili toka juu hatta chini.
Marko MT. 15:38ਪੜਚੋਲ ਕਰੋ
4
Marko MT. 15:37
Yesu akatoa sauti kuu, akakata roho.
Marko MT. 15:37ਪੜਚੋਲ ਕਰੋ
5
Marko MT. 15:33
Ilipokuwa saa sita, pakawa na giza juu ya inchi yote, hatta saa tissa.
Marko MT. 15:33ਪੜਚੋਲ ਕਰੋ
6
Marko MT. 15:15
Pilato akapenda kuwafanyia radhi makutano, akawafungulia Barabba: akamtoa Yesu, baada ya kumpiga mijeledi, asulibiwe.
Marko MT. 15:15ਪੜਚੋਲ ਕਰੋ
Home
ਬਾਈਬਲ
Plans
ਵੀਡੀਓ