1
Yn 19:30
Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia
Basi Yesu alipokwisha kuipokea ile siki, alisema, Imekwisha. Akainama kichwa, akaisalimu roho yake.
နှိုင်းယှဉ်
Yn 19:30ရှာဖွေလေ့လာလိုက်ပါ။
2
Yn 19:28
Baada ya hayo Yesu, hali akijua ya kuwa yote yamekwisha kumalizika ili andiko litimizwe, akasema, Naona kiu.
Yn 19:28ရှာဖွေလေ့လာလိုက်ပါ။
3
Yn 19:26-27
Basi Yesu alipomwona mama yake, na yule mwanafunzi aliyempenda amesimama karibu, alimwambia mama yake, Mama, tazama, mwanao. Kisha akamwambia yule mwanafunzi, Tazama, mama yako. Na tangu saa ile mwanafunzi yule akamchukua nyumbani kwake.
Yn 19:26-27ရှာဖွေလေ့လာလိုက်ပါ။
4
Yn 19:33-34
Lakini walipomjia Yesu na kuona ya kuwa amekwisha kufa, hawakumvunja miguu; lakini askari mmojawapo alimchoma ubavu kwa mkuki; na mara ikatoka damu na maji.
Yn 19:33-34ရှာဖွေလေ့လာလိုက်ပါ။
5
Yn 19:36-37
Kwa maana hayo yalitukia ili andiko litimie, Hapana mfupa wake utakaovunjwa. Na tena andiko lingine lanena, Watamtazama yeye waliyemchoma.
Yn 19:36-37ရှာဖွေလေ့လာလိုက်ပါ။
6
Yn 19:17
Akatoka, hali akijichukulia msalaba wake, mpaka mahali paitwapo Fuvu la Kichwa, au kwa Kiebrania, Golgotha.
Yn 19:17ရှာဖွေလေ့လာလိုက်ပါ။
7
Yn 19:2
Nao askari wakasokota taji ya miiba, wakamtia kichwani, wakamvika vazi la zambarau.
Yn 19:2ရှာဖွေလေ့လာလိုက်ပါ။
ပင်မစာမျက်နှာ
ကျမ်းစာ
အစီအစဉ်
ဗီဒီယို