1
Marko MT. 3:35
New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921
Kwa maana mtu ye yote atakaeyafanya mapenzi ya Mungu, huyu ndive ndugu yangu, na umbu langu, na mama yangu.
ႏွိုင္းယွဥ္
Marko MT. 3:35ရွာေဖြေလ့လာလိုက္ပါ။
2
Marko MT. 3:28-29
Amin, nawaambieni, Dbambi zote watasamehewa wana Adamu, na kufuru zao watakazokufuru zote; bali mtu atakaemkufuru Roho Mtakatifu hana masamaha hatta milele; bali atakuwa ana dhambi ya milele
Marko MT. 3:28-29ရွာေဖြေလ့လာလိုက္ပါ။
3
Marko MT. 3:24-25
Na ufalme nkilitinika juu ya nafsi yake ufalme ule hauwezi kusimama; na nyumba ikifitinika juu ya nafsi yake, nyumba ile haiwezi kusimama.
Marko MT. 3:24-25ရွာေဖြေလ့လာလိုက္ပါ။
4
Marko MT. 3:11
Na pepo wachafu, killa walipomwona, wahanguka mbele yake, wakalia wakinena, Wewe ndiwe Mwana wa Mungu.
Marko MT. 3:11ရွာေဖြေလ့လာလိုက္ပါ။
ပင္မစာမ်က္ႏွာ
က်မ္းစာ
အစီအစဥ္
ဗီဒီယို