1
Marko MT. 1:35
New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921
Hatta alfajiri na mapema sana, akaondoka, akatoka akaenda zake mahali pasipo watu akasali huko.
ႏွိုင္းယွဥ္
Marko MT. 1:35ရွာေဖြေလ့လာလိုက္ပါ။
2
Marko MT. 1:15
akineua, Wakati umetimia, na ufalme wa Muugu umekaribia; tubuni, kaiaminim injili.
Marko MT. 1:15ရွာေဖြေလ့လာလိုက္ပါ။
3
Marko MT. 1:10-11
Marra akapanda kutoka majini, akaona mbingu zinapasuka, na Roho, kwa mfano wa hua, akishuka juu yake; sauti ikatoka mbinguni, Wewe ndiwe Mwana wangu mpendwa, ndiwe unipendezae.
Marko MT. 1:10-11ရွာေဖြေလ့လာလိုက္ပါ။
4
Marko MT. 1:8
Mimi naliwabatizeni kwa maji; bali yeye atawabalizeni kwa Roho Mtakatifu.
Marko MT. 1:8ရွာေဖြေလ့လာလိုက္ပါ။
5
Marko MT. 1:17-18
Yesu akawaambia, Nifuateni, nami nitawafanya kuwa wavuvi wa watu. Marra wakaziacha nyavu zao, wakamfuata.
Marko MT. 1:17-18ရွာေဖြေလ့လာလိုက္ပါ။
6
Marko MT. 1:22
Wakashangaa kwa mafundisho yake; kwa sababu alikuwa akiwafundisha kama mtu mwenye mamlaka wala si kama waandishi.
Marko MT. 1:22ရွာေဖြေလ့လာလိုက္ပါ။
ပင္မစာမ်က္ႏွာ
က်မ္းစာ
အစီအစဥ္
ဗီဒီယို