1
Mattayo MT. 25:40
New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921
Na mfalme atajibu, akiwaambia, Amin, nawaambieni. Kadiri mlivyomtendea mmojawapo katika hawo ndugu zangu walio wadogo, mlinitendea mimi.
ႏွိုင္းယွဥ္
Mattayo MT. 25:40ရွာေဖြေလ့လာလိုက္ပါ။
2
Mattayo MT. 25:21
Bwana wake akamwambia, Vema, mtumishi mwema, na amini: ulikuwa amini kwa machache, nitakuweka juu ya mengi: ingia katika furaha ya bwana wako.
Mattayo MT. 25:21ရွာေဖြေလ့လာလိုက္ပါ။
3
Mattayo MT. 25:29
Kwa maana killa aliye na mali atapewa, na kuongezewa: nae asiye nayo, hatta ile aliyo nayo atanyangʼanywa.
Mattayo MT. 25:29ရွာေဖြေလ့လာလိုက္ပါ။
4
Mattayo MT. 25:13
Bassi kesheni, maana hamwijui siku wala saa ajapo Mwana wa Adamu.
Mattayo MT. 25:13ရွာေဖြေလ့လာလိုက္ပါ။
5
Mattayo MT. 25:35
kwa maana nalikuwa na njaa, mkanipa chakula; nalikuwa na kiu, mkaninywesha; nalikuwa mgeni, mkanikaribisha
Mattayo MT. 25:35ရွာေဖြေလ့လာလိုက္ပါ။
6
Mattayo MT. 25:23
Bwana wake akamwambia, Vema, mtumishi mwema na amini: ulikuwa amini kwa machache, nitakuweka juu ya mengi: ingia katika furaha ya bwana wako.
Mattayo MT. 25:23ရွာေဖြေလ့လာလိုက္ပါ။
7
Mattayo MT. 25:36
nalikuwa uchi, mkanivika; nalikuwa mgonjwa, mkaja kunitazama; nalikuwa kifungoni, mkanijia.
Mattayo MT. 25:36ရွာေဖြေလ့လာလိုက္ပါ။
ပင္မစာမ်က္ႏွာ
က်မ္းစာ
အစီအစဥ္
ဗီဒီယို