1
Mattayo MT. 18:20
New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921
Kwa kuwa wawili au watatu walipo wamekusanyika kwa jina langu, nami nipo papo hapo katikati yao.
ႏွိုင္းယွဥ္
Mattayo MT. 18:20ရွာေဖြေလ့လာလိုက္ပါ။
2
Mattayo MT. 18:19
Tena nawaambieni, ya kwamba wawili wenu watakapopatana duniani katika jambo lo lote watakaloliomba, watafanyiwa na Baba yangu aliye mbinguni.
Mattayo MT. 18:19ရွာေဖြေလ့လာလိုက္ပါ။
3
Mattayo MT. 18:2-3
Yesu akaita kitoto, akamweka katikati yao, akasema, Amin, nawaambieni, Msipoongoka na kuwa kama vitoto, hamtaingia kabisa katika ufalme wa mbinguni.
Mattayo MT. 18:2-3ရွာေဖြေလ့လာလိုက္ပါ။
4
Mattayo MT. 18:4
Bassi, ye yote anyenyekeae kama kitoto hiki, huyo ndiye aliye mkuu katika ufalme wa mbinguni.
Mattayo MT. 18:4ရွာေဖြေလ့လာလိုက္ပါ။
5
Mattayo MT. 18:5
Na ye yote atakaepokea kitoto kimoja mfano wa hiki kwa jina langu, anipokea mimi
Mattayo MT. 18:5ရွာေဖြေလ့လာလိုက္ပါ။
6
Mattayo MT. 18:18
Amin, nawaambieni, Yo yote mtakayoyafunga duniani yatakuwa yamefungwa mbinguni; na yo yote mtakayoyafungua duniani yatakuwa yamefunguliwa mbinguni.
Mattayo MT. 18:18ရွာေဖြေလ့လာလိုက္ပါ။
7
Mattayo MT. 18:35
Vivyo hivyo na Baba yangu wa mbinguni atawatenda ninyi, kama ninyi kwa mioyo yenu hamkusamehe killa mtu ndugu yake makosa yake.
Mattayo MT. 18:35ရွာေဖြေလ့လာလိုက္ပါ။
8
Mattayo MT. 18:6
bali atakaekosesha mmoja wa wadogo hawa waniaminio, yamfaa afungwe jiwe kubwa la kusagia shingoni mwake, na kutoswa katika kilindi cha bahari.
Mattayo MT. 18:6ရွာေဖြေလ့လာလိုက္ပါ။
9
Mattayo MT. 18:12
Mwaonaje? mtu akiwa na kondoo mia, mmoja akampotea, je, hawaachi wale tissa na tissaini, akaenda milimani, na kumtafuta yule aliyepotea?
Mattayo MT. 18:12ရွာေဖြေလ့လာလိုက္ပါ။
ပင္မစာမ်က္ႏွာ
က်မ္းစာ
အစီအစဥ္
ဗီဒီယို