1
Mattayo MT. 16:24
New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921
Wakati huo Yesu aliwaambia wanafunzi wake, Mtu atakae kuandama nyuma yangu, ajikane nafsi yake, ajitwike msalaba wake, anifuate.
ႏွိုင္းယွဥ္
Mattayo MT. 16:24ရွာေဖြေလ့လာလိုက္ပါ။
2
Mattayo MT. 16:18
Nami nakuambia, Wewe ndiwe Petro, na jun ya mwamba huu nitalijenga kanisa langu; na milango ya kuzimu haitalishinda.
Mattayo MT. 16:18ရွာေဖြေလ့လာလိုက္ပါ။
3
Mattayo MT. 16:19
Nami nitakupa wewe funguo za ufalme wa mbinguni; na lo lote utakalolifunga duniani, litafungwa mbinguni: na lo lote utakalolifungua duniani, litakuwa limefunguliwa mbinguni.
Mattayo MT. 16:19ရွာေဖြေလ့လာလိုက္ပါ။
4
Mattayo MT. 16:25
Maana mtu atakae kuisalimisha roho yake, ataiangamiza; na mtu atakaeitoa roho yake kwa ajili yangu, ataiona.
Mattayo MT. 16:25ရွာေဖြေလ့လာလိုက္ပါ။
5
Mattayo MT. 16:26
Kwa maana atafaidiwa mtu nini akiupata ulimwengu wote, na kupata khasara ya roho yake? au mtu atatoa nini badala ya roho yake?
Mattayo MT. 16:26ရွာေဖြေလ့လာလိုက္ပါ။
6
Mattayo MT. 16:15-16
Akawaambia, Na ninyi mwaninena mimi kuwa nani? Simon Petro akajibu, akasema, Wewe ndiwe Kristo, Mwana wa Mungu aliye hayi.
Mattayo MT. 16:15-16ရွာေဖြေလ့လာလိုက္ပါ။
7
Mattayo MT. 16:17
Yesu akajibu, akamwambia, U kheri Simon bar Yunus; kwa kuwa nyama na damu hazikukufunulia haya, bali Baba yangu aliye mbinguni.
Mattayo MT. 16:17ရွာေဖြေလ့လာလိုက္ပါ။
ပင္မစာမ်က္ႏွာ
က်မ္းစာ
အစီအစဥ္
ဗီဒီယို