1
Mathayo 8:26
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi
Yesu akawaambia, “Kwa nini mnaogopa? Hamna imani ya kutosha.” Yesu akasimama akaukemea upepo na mawimbi, na ziwa likatulia.
ႏွိုင္းယွဥ္
Mathayo 8:26ရွာေဖြေလ့လာလိုက္ပါ။
2
Mathayo 8:8
Yule afisa akajibu, “Bwana, mimi si mwema kiasi cha wewe kuingia katika nyumba yangu. Toa amri tu, na mtumishi wangu atapona.
Mathayo 8:8ရွာေဖြေလ့လာလိုက္ပါ။
3
Mathayo 8:10
Yesu aliposikia maneno hayo alishangaa. Akawaambia wale waliokuwa wakifuatana naye, “Ukweli ni kuwa, mtu huyu ana imani kuliko mtu yeyote niliyewahi kumwona katika Israeli.
Mathayo 8:10ရွာေဖြေလ့လာလိုက္ပါ။
4
Mathayo 8:13
Kisha Yesu akamwambia yule afisa, “Rudi nyumbani kwako. Mtumishi wako atapona kama unavyoamini.” Mtumishi wa afisa huyo akapona wakati ule ule.
Mathayo 8:13ရွာေဖြေလ့လာလိုက္ပါ။
5
Mathayo 8:27
Wanafunzi wake wakashangaa sana, wakasema, “Huyu ni mtu wa namna gani? Hata upepo na maji vinamtii!”
Mathayo 8:27ရွာေဖြေလ့လာလိုက္ပါ။
ပင္မစာမ်က္ႏွာ
က်မ္းစာ
အစီအစဥ္
ဗီဒီယို