1
Mwa 2:24
Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia
Kwa hiyo mwanamume atamwacha baba yake na mama yake naye ataambatana na mkewe, nao watakuwa mwili mmoja.
ႏွိုင္းယွဥ္
Mwa 2:24ရွာေဖြေလ့လာလိုက္ပါ။
2
Mwa 2:18
BWANA Mungu akasema, Si vema huyo mtu awe peke yake, nitamfanyia msaidizi wa kufanana naye.
Mwa 2:18ရွာေဖြေလ့လာလိုက္ပါ။
3
Mwa 2:7
BWANA Mungu akamfanya mtu kwa mavumbi ya ardhi, akampulizia puani pumzi ya uhai; mtu akawa nafsi hai.
Mwa 2:7ရွာေဖြေလ့လာလိုက္ပါ။
4
Mwa 2:23
Adamu akasema, Sasa huyu ni mfupa katika mifupa yangu, na nyama katika nyama yangu, basi ataitwa mwanamke, kwa maana ametwaliwa katika mwanamume.
Mwa 2:23ရွာေဖြေလ့လာလိုက္ပါ။
5
Mwa 2:3
Mungu akaibarikia siku ya saba, akaitakasa kwa sababu katika siku hiyo Mungu alistarehe, akaacha kufanya kazi yake yote aliyoiumba na kuifanya.
Mwa 2:3ရွာေဖြေလ့လာလိုက္ပါ။
6
Mwa 2:25
Nao walikuwa uchi wote wawili, Adamu na mkewe, wala hawakuona haya.
Mwa 2:25ရွာေဖြေလ့လာလိုက္ပါ။
ပင္မစာမ်က္ႏွာ
က်မ္းစာ
အစီအစဥ္
ဗီဒီယို