1
Mwanzo 2:24
Neno: Bibilia Takatifu
Kwa sababu hii mwanaume atamwacha baba yake na mama yake na kuambatana na mkewe, nao watakuwa mwili mmoja.
비교
Mwanzo 2:24 살펴보기
2
Mwanzo 2:18
BWANA Mungu akasema, “Si vyema huyu mtu awe peke yake. Nitamfanyia msaidizi wa kumfaa.”
Mwanzo 2:18 살펴보기
3
Mwanzo 2:7
BWANA Mungu alimuumba mtu kutoka mavumbi ya ardhi, akampulizia pumzi ya uhai puani mwake, naye mtu akawa kiumbe hai.
Mwanzo 2:7 살펴보기
4
Mwanzo 2:23
Huyo mwanaume akasema, “Huyu sasa ni mfupa wa mifupa yangu na nyama ya nyama yangu, ataitwa ‘mwanamke,’ kwa kuwa alitolewa katika mwanaume.”
Mwanzo 2:23 살펴보기
5
Mwanzo 2:3
Mungu akaibariki siku ya saba akaifanya takatifu, kwa sababu katika siku hiyo alipumzika kutoka kazi zote za kuumba alizokuwa amefanya.
Mwanzo 2:3 살펴보기
6
Mwanzo 2:25
Adamu na mkewe wote wawili walikuwa uchi, wala hawakuona aibu.
Mwanzo 2:25 살펴보기
YouVersion은 여러분의 경험을 개인화하기 위해 쿠키를 사용합니다. 저희 웹사이트를 사용함으로써 여러분은 저희의 개인 정보 보호 정책에 설명된 쿠키 사용에 동의하게 됩니다
홈
성경
묵상
동영상