1
Lk 21:36
Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia
Basi, kesheni ninyi kila wakati, mkiomba, ili mpate kuokoka katika haya yote yatakayotokea, na kusimama mbele za Mwana wa Adamu.
ប្រៀបធៀប
រុករក Lk 21:36
2
Lk 21:34
Basi, jiangalieni, mioyo yenu isije ikalemewa na ulafi, na ulevi, na masumbufu ya maisha haya; siku ile ikawajia ghafula, kama mtego unasavyo
រុករក Lk 21:34
3
Lk 21:19
Nanyi kwa subira yenu mtaziponya nafsi zenu.
រុករក Lk 21:19
4
Lk 21:15
kwa sababu mimi nitawapa kinywa na hekima ambayo watesi wenu wote hawataweza kushindana nayo wala kuipinga.
រុករក Lk 21:15
5
Lk 21:33
Mbingu na nchi zitapita, lakini maneno yangu hayatapita kamwe.
រុករក Lk 21:33
6
Lk 21:25-27
Tena, kutakuwa na ishara katika jua, na mwezi, na nyota; na katika nchi dhiki ya mataifa wakishangaa kwa uvumi wa bahari na msukosuko wake; watu wakivunjika mioyo kwa hofu, na kwa kutazamia mambo yatakayoupata ulimwengu. Kwa kuwa nguvu za mbinguni zitatikisika. Hapo ndipo watakapomwona Mwana wa Adamu akija katika wingu pamoja na nguvu na utukufu mwingi.
រុករក Lk 21:25-27
7
Lk 21:17
Nanyi mtachukiwa na watu wote kwa ajili ya jina langu.
រុករក Lk 21:17
8
Lk 21:11
kutakuwa na matetemeko makubwa ya nchi; na njaa na tauni mahali mahali; na mambo ya kutisha na ishara kuu kutoka mbinguni.
រុករក Lk 21:11
9
Lk 21:9-10
Nanyi mtakaposikia habari za vita na fitina, msitishwe; maana, hayo hayana budi kutukia kwanza, lakini ule mwisho hauji upesi. Kisha aliwaambia, Taifa litaondoka kupigana na taifa, na ufalme kupigana na ufalme
រុករក Lk 21:9-10
10
Lk 21:25-26
Tena, kutakuwa na ishara katika jua, na mwezi, na nyota; na katika nchi dhiki ya mataifa wakishangaa kwa uvumi wa bahari na msukosuko wake; watu wakivunjika mioyo kwa hofu, na kwa kutazamia mambo yatakayoupata ulimwengu. Kwa kuwa nguvu za mbinguni zitatikisika.
រុករក Lk 21:25-26
11
Lk 21:10
Kisha aliwaambia, Taifa litaondoka kupigana na taifa, na ufalme kupigana na ufalme
រុករក Lk 21:10
12
Lk 21:8
Akasema, Angalieni, msije mkadanganyika, kwa sababu wengi watakuja kwa jina langu, wakisema, Mimi ndiye; tena, Majira yamekaribia. Basi msiwafuate hao.
រុករក Lk 21:8
ទំព័រដើម
ព្រះគម្ពីរ
គម្រោងអាន
វីដេអូ