1
Luka MT. 20:25
New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921
Akawaambia, Bassi, mpeni Kaisari yaliyo ya Kaisari, na Mungu yaliyo ya Mungu.
比較
Luka MT. 20:25で検索
2
Luka MT. 20:17
Waliposikia wakasema, Mungu na apishe mbali. Akawakazia macho, akasema, Maana yake nini, bassi, neno hili lililoandikwa, Jiwe walilolikataa waashi Hili limekuwa jiwe kuu la pembeni?
Luka MT. 20:17で検索
3
Luka MT. 20:46-47
Jihadharini na waandishi wapendao kutembea wamevaa mavazi marefu, na kusalimiwa masokoni, na kuketi mbele katika sunagogi, na mahali palipo mbele katika karamu. Wanakula nyumba za wajane: na kwa unafiki husali sala ndefu. Hawo watapokea hukumu iliyo kubwa zaidi.
Luka MT. 20:46-47で検索
ホーム
聖書
読書プラン
ビデオ