1
Yoane 3:16
BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002
Kwa maana Mungu alipenda sana ulimwengu hata kumutoa Mwana wake wa pekee, kusudi kila mutu anayemwamini asipotee, lakini apate uzima wa milele.
Lee anya n'etiti ihe abụọ
Nyochaa Yoane 3:16
2
Yoane 3:17
Mungu hakumutuma Mwana wake katika ulimwengu kusudi ahukumu ulimwengu, lakini kusudi ulimwengu uokolewe naye.
Nyochaa Yoane 3:17
3
Yoane 3:3
Yesu akamujibu: “Kweli, kweli ninakuambia: mutu hawezi kuingia katika Ufalme wa Mungu asipozaliwa mara ya pili.”
Nyochaa Yoane 3:3
4
Yoane 3:18
Anayemwamini Mwana hahukumiwi, lakini asiyemwamini amekwisha kuhukumiwa, kwa sababu hakumwamini Mwana wa pekee wa Mungu.
Nyochaa Yoane 3:18
5
Yoane 3:19
Hukumu inatokana na hivi: mwangaza umekuja katika ulimwengu, lakini watu wanapenda giza kuliko mwangaza, kwa sababu matendo yao ni mabaya.
Nyochaa Yoane 3:19
6
Yoane 3:30
Sherti utukufu wake uzidi na wangu upunguke.
Nyochaa Yoane 3:30
7
Yoane 3:20
Kila mutu anayefanya mabaya anachukia mwangaza, naye anakataa kuja kwenye mwangaza, kusudi matendo yake yasionekane wazi.
Nyochaa Yoane 3:20
8
Yoane 3:36
Anayemwamini Mwana yuko na uzima wa milele. Anayekataa kumwamini Mwana hatapata uzima; atakaa akipatwa na kasirani ya Mungu.”
Nyochaa Yoane 3:36
9
Yoane 3:14
Sawa Musa alivyonyanyua nyoka ya shaba juu ya muti katika jangwa, ni hivi vilevile, sherti Mwana wa Mutu anyanyuliwe
Nyochaa Yoane 3:14
10
Yoane 3:35
Baba anamupenda Mwana wake, naye ameweka vitu vyote kwa mukono wake.
Nyochaa Yoane 3:35
Ulo
Akwụkwọ Nsọ
Atụmatụ
Vidiyo