1
Yn 8:12
Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia
Basi Yesu akawaambia tena akasema, Mimi ndimi nuru ya ulimwengu, yeye anifuataye hatakwenda gizani kamwe, bali atakuwa na nuru ya uzima.
Lee anya n'etiti ihe abụọ
Nyochaa Yn 8:12
2
Yn 8:32
tena mtaifahamu kweli, nayo hiyo kweli itawaweka huru.
Nyochaa Yn 8:32
3
Yn 8:31
Basi Yesu akawaambia wale Wayahudi waliomwamini, Ninyi mkikaa katika neno langu, mmekuwa wanafunzi wangu kweli kweli
Nyochaa Yn 8:31
4
Yn 8:36
Basi Mwana akiwaweka huru, mtakuwa huru kweli kweli.
Nyochaa Yn 8:36
5
Yn 8:7
Nao walipozidi kumhoji, alijiinua, akawaambia, Yeye asiye na dhambi miongoni mwenu na awe wa kwanza wa kumtupia jiwe.
Nyochaa Yn 8:7
6
Yn 8:34
Yesu akawajibu, Amin, amin, nawaambia, Kila atendaye dhambi ni mtumwa wa dhambi.
Nyochaa Yn 8:34
7
Yn 8:10-11
Yesu akajiinua asimwone mtu ila yule mwanamke, akamwambia, Mwanamke, wako wapi wale washitaki wako? Je! Hakuna aliyekuhukumu kuwa na hatia? Akamwambia, Hakuna, Bwana. Yesu akamwambia, Wala mimi sikuhukumu. Enenda zako; wala usitende dhambi tena.]
Nyochaa Yn 8:10-11
Ebe Mmepe Nke Mbụ Nke Ngwá
Akwụkwọ Nsọ
Atụmatụ Ihe Ogụgụ Gasị
Vidiyo Gasị