1
Mwanzo 35:11-12
Neno: Maandiko Matakatifu 2024
Mungu akamwambia, “Mimi ndimi Mungu Mwenyezi; ukazae na kuongezeka. Taifa na jamii ya mataifa itatoka kwako, nao wafalme watatoka viunoni mwako. Nchi niliyowapa Ibrahimu na Isaka nakupa wewe pia, nami nitawapa wazao wako baada yako.”
Lee anya n'etiti ihe abụọ
Nyochaa Mwanzo 35:11-12
2
Mwanzo 35:3
Kisha njooni, twende Betheli, mahali nitakapomjengea Mungu madhabahu, aliyenijibu katika siku ya shida yangu, ambaye amekuwa pamoja nami popote nilipoenda.”
Nyochaa Mwanzo 35:3
3
Mwanzo 35:10
Mungu akamwambia, “Jina lako ni Yakobo. Lakini hutaitwa tena Yakobo; jina lako litakuwa Israeli.” Kwa hiyo akamwita Israeli.
Nyochaa Mwanzo 35:10
4
Mwanzo 35:2
Hivyo Yakobo akawaambia watu wa nyumbani mwake pamoja na wote waliokuwa naye, “Iondoeni miungu ya kigeni mliyo nayo, mjitakase na mkabadilishe nguo zenu.
Nyochaa Mwanzo 35:2
5
Mwanzo 35:1
Kisha Mungu akamwambia Yakobo, “Panda uende Betheli ukakae huko. Ukamjengee Mungu madhabahu huko, Yeye aliyekutokea ulipokuwa unamkimbia Esau ndugu yako.”
Nyochaa Mwanzo 35:1
6
Mwanzo 35:18
Hapo alipopumua pumzi yake ya mwisho, kwa maana alikuwa akifa, akamwita mwanawe jina Benoni. Lakini babaye akamwita jina Benyamini.
Nyochaa Mwanzo 35:18
Ulo
Akwụkwọ Nsọ
Atụmatụ
Vidiyo