1
Mwanzo 11:6-7
Neno: Maandiko Matakatifu 2024
Mwenyezi Mungu akasema, “Ikiwa kama taifa moja wanaozungumza lugha moja wameanza kufanya hili, basi hakuna lolote watakalopanga kufanya ambalo halitawezekana kwao. Njooni, tushuke tuvuruge lugha yao ili wasielewane wao kwa wao.”
Lee anya n'etiti ihe abụọ
Nyochaa Mwanzo 11:6-7
2
Mwanzo 11:4
Ndipo wakasema, “Njooni, tujijengee mji wenye mnara ambao utafika hadi mbinguni, ili tujipatie jina, tusije tukatawanyika duniani kote.”
Nyochaa Mwanzo 11:4
3
Mwanzo 11:9
Ndiyo maana pakaitwa Babeli, kwa sababu hapo ndipo Mwenyezi Mungu alipoivuruga lugha ya dunia nzima. Kutoka hapo Mwenyezi Mungu akawatawanya duniani kote.
Nyochaa Mwanzo 11:9
4
Mwanzo 11:1
Wakati huo dunia yote ilikuwa na lugha moja na msemo mmoja.
Nyochaa Mwanzo 11:1
5
Mwanzo 11:5
Lakini Mwenyezi Mungu akashuka ili auone mji na mnara ambao wanadamu walikuwa wanaujenga.
Nyochaa Mwanzo 11:5
6
Mwanzo 11:8
Hivyo Mwenyezi Mungu akawatawanya kutoka mahali pale waende duniani kote; nao wakaacha kuujenga huo mji.
Nyochaa Mwanzo 11:8
Ulo
Akwụkwọ Nsọ
Atụmatụ
Vidiyo