1
Luka 12:40
BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA
Nanyi, kadhalika muwe tayari, maana Mwana wa Mtu atakuja saa msiyoitazamia.”
Համեմատել
Ուսումնասիրեք Luka 12:40
2
Luka 12:31
Shughulikeni kwanza juu ya ufalme wa Mungu, na hayo mtapewa kwa ziada.
Ուսումնասիրեք Luka 12:31
3
Luka 12:15
Basi, akawaambia wote, “Jihadharini na kila aina ya tamaa; maana uhai wa mtu hautegemei wingi wa vitu alivyo navyo.”
Ուսումնասիրեք Luka 12:15
4
Luka 12:34
Pale ilipo hazina yako, ndipo pia utakapokuwa moyo wako.
Ուսումնասիրեք Luka 12:34
5
Luka 12:25
Ni nani kati yenu kwa kuwa na wasiwasi sana anaweza kuongeza kidogo urefu wa maisha yake?
Ուսումնասիրեք Luka 12:25
6
Luka 12:22
Kisha Yesu akawaambia wanafunzi wake, “Kwa sababu hiyo nawaambieni, msiwe na wasiwasi juu ya chakula mnachohitaji ili kuishi, wala juu ya mavazi mnayohitaji kwa ajili ya miili yenu.
Ուսումնասիրեք Luka 12:22
7
Luka 12:7
Lakini hata nywele za vichwa vyenu zimehesabiwa zote. Msiogope, basi; nyinyi mna thamani kuliko shomoro wengi!
Ուսումնասիրեք Luka 12:7
8
Luka 12:32
“Msiogope, enyi kundi dogo! Maana Baba yenu amependa kuwapeni ufalme.
Ուսումնասիրեք Luka 12:32
9
Luka 12:24
Chukueni kwa mfano, kunguru: Hawapandi, hawavuni wala hawana ghala yoyote. Hata hivyo, Mungu huwalisha. Nyinyi mna thamani zaidi kuliko ndege!
Ուսումնասիրեք Luka 12:24
10
Luka 12:29
“Basi, msivurugike akili, mkihangaika juu ya mtakachokula au mtakachokunywa.
Ուսումնասիրեք Luka 12:29
11
Luka 12:28
Ikiwa basi, Mungu hulivika hivyo jani la shambani ambalo leo liko na kesho latupwa motoni, je, si atawafanyia nyinyi zaidi? Enyi watu wenye imani haba!
Ուսումնասիրեք Luka 12:28
12
Luka 12:2
Kila kilichofunikwa kitafunuliwa, kila kilichofichika kitafichuliwa.
Ուսումնասիրեք Luka 12:2
Գլխավոր
Աստվածաշունչ
Ծրագրեր
Տեսանյութեր