1
Yohane 5:24
BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA
“Kweli nawaambieni, anayesikia neno langu, na kumwamini yule aliyenituma, anao uhai wa milele. Hatahukumiwa kamwe, bali amekwisha pita kutoka kifoni na kuingia katika uhai.
Համեմատել
Ուսումնասիրեք Yohane 5:24
2
Yohane 5:6
Naye alipomwona huyo mtu amelala hapo na kujua kwamba alikuwa amekaa hapo kwa muda mrefu, akamwuliza, “Je, wataka kupona?”
Ուսումնասիրեք Yohane 5:6
3
Yohane 5:39-40
Nyinyi huyachunguza Maandiko Matakatifu mkidhani kwamba ndani yake mtapata uhai wa milele; na kumbe maandiko hayohayo yananishuhudia! Hata hivyo, nyinyi hamtaki kuja kwangu ili mpate uhai.
Ուսումնասիրեք Yohane 5:39-40
4
Yohane 5:8-9
Yesu akamwambia, “Inuka, chukua mkeka wako utembee.” Mara huyo mtu akapona, akachukua mkeka wake, akatembea. Jambo hili lilifanyika siku ya Sabato.
Ուսումնասիրեք Yohane 5:8-9
5
Yohane 5:19
Yesu akawaambia, “Kweli nawaambieni, Mwana hawezi kufanya kitu peke yake; anaweza tu kufanya kile anachomwona Baba akikifanya. Maana kile anachofanya Baba, Mwana hukifanya vilevile.
Ուսումնասիրեք Yohane 5:19
Գլխավոր
Աստվածաշունչ
Ծրագրեր
Տեսանյութեր