1
Mwanzo 7:1
BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA
Mwenyezi-Mungu akamwambia Noa, “Ingia ndani ya safina wewe pamoja na jamaa yako yote, kwa maana, kati ya watu wote wanaoishi nyakati hizi zako, nimekuona wewe peke yako kuwa mwadilifu mbele yangu.
Konpare
Eksplore Mwanzo 7:1
2
Mwanzo 7:24
Maji hayo yalidumu katika nchi siku 150.
Eksplore Mwanzo 7:24
3
Mwanzo 7:11
Noa alipokuwa na umri wa miaka 600, mnamo siku ya kumi na saba ya mwezi wa pili, siku hiyo chemchemi zote za vilindi vya nchi zikabubujika maji, na madirisha ya mbinguni yakafunguka.
Eksplore Mwanzo 7:11
4
Mwanzo 7:23
Mungu akaangamiza kila kiumbe kilichokuwa hai duniani: Binadamu, wanyama, viumbe vitambaavyo na ndege wa angani. Vyote viliangamizwa duniani. Noa tu ndiye aliyesalimika na wale waliokuwa pamoja naye ndani ya safina.
Eksplore Mwanzo 7:23
5
Mwanzo 7:12
Mvua ikanyesha nchini siku arubaini mchana na usiku.
Eksplore Mwanzo 7:12
Akèy
Bib
Plan yo
Videyo