1
Luka 13:24
Swahili Revised Union Version
Jitahidini kuingia katika mlango ulio mwembamba, kwa maana nawaambia ya kwamba wengi watataka kuingia, wasiweze.
Usporedi
Istraži Luka 13:24
2
Luka 13:11-12
Na tazama, palikuwa na mwanamke aliyekuwa na pepo wa udhaifu muda wa miaka kumi na minane, naye amepindana, hawezi kujinyosha kabisa. Yesu alipomwona alimwita, akamwambia, Mama, umefunguliwa katika udhaifu wako.
Istraži Luka 13:11-12
3
Luka 13:13
Akaweka mikono yake juu yake, naye akanyoka mara hiyo, akamtukuza Mungu.
Istraži Luka 13:13
4
Luka 13:30
Na tazama, wako walio wa mwisho watakaokuwa wa kwanza, na wa kwanza watakaokuwa wa mwisho.
Istraži Luka 13:30
5
Luka 13:25
Wakati mwenye nyumba atakaposimama na kuufunga mlango, nanyi mkaanza kusimama nje na kuubisha mlango, mkisema, Ee Bwana, tufungulie; yeye atajibu na kuwaambia, Siwajui mtokako
Istraži Luka 13:25
6
Luka 13:5
Nawaambia, Sivyo; lakini msipotubu, ninyi nyote mtaangamia vivyo hivyo.
Istraži Luka 13:5
7
Luka 13:27
Naye atasema, Nawaambia, Siwajui mtokako; ondokeni kwangu ninyi nyote mlio wafanyaji wa udhalimu.
Istraži Luka 13:27
8
Luka 13:18-19
Kisha alisema, Ufalme wa Mungu umefanana na nini? Nami niufananishe na nini? Umefanana na punje ya haradali aliyotwaa mtu akaitupa katika shamba lake; ikamea, ikawa mti; ndege wa angani wakakaa katika matawi yake.
Istraži Luka 13:18-19
Početna
Biblija
Planovi
Videozapisi