1
Luka 13:24
Swahili Revised Union Version
Jitahidini kuingia katika mlango ulio mwembamba, kwa maana nawaambia ya kwamba wengi watataka kuingia, wasiweze.
Compare
Luka 13:24 ખોજ કરો
2
Luka 13:11-12
Na tazama, palikuwa na mwanamke aliyekuwa na pepo wa udhaifu muda wa miaka kumi na minane, naye amepindana, hawezi kujinyosha kabisa. Yesu alipomwona alimwita, akamwambia, Mama, umefunguliwa katika udhaifu wako.
Luka 13:11-12 ખોજ કરો
3
Luka 13:13
Akaweka mikono yake juu yake, naye akanyoka mara hiyo, akamtukuza Mungu.
Luka 13:13 ખોજ કરો
4
Luka 13:30
Na tazama, wako walio wa mwisho watakaokuwa wa kwanza, na wa kwanza watakaokuwa wa mwisho.
Luka 13:30 ખોજ કરો
5
Luka 13:25
Wakati mwenye nyumba atakaposimama na kuufunga mlango, nanyi mkaanza kusimama nje na kuubisha mlango, mkisema, Ee Bwana, tufungulie; yeye atajibu na kuwaambia, Siwajui mtokako
Luka 13:25 ખોજ કરો
6
Luka 13:5
Nawaambia, Sivyo; lakini msipotubu, ninyi nyote mtaangamia vivyo hivyo.
Luka 13:5 ખોજ કરો
7
Luka 13:27
Naye atasema, Nawaambia, Siwajui mtokako; ondokeni kwangu ninyi nyote mlio wafanyaji wa udhalimu.
Luka 13:27 ખોજ કરો
8
Luka 13:18-19
Kisha alisema, Ufalme wa Mungu umefanana na nini? Nami niufananishe na nini? Umefanana na punje ya haradali aliyotwaa mtu akaitupa katika shamba lake; ikamea, ikawa mti; ndege wa angani wakakaa katika matawi yake.
Luka 13:18-19 ખોજ કરો
હોમ
બાઇબલ
યોજનાઓ
વિડિઓઝ