1
Yohana 7:38
Swahili Revised Union Version
Aniaminiye mimi, kama vile maandiko yalivyonena, mito ya maji yaliyo hai itatoka ndani yake.
Compare
Yohana 7:38 ખોજ કરો
2
Yohana 7:37
Katika siku ya mwisho, siku ile kubwa ya sikukuu, Yesu akasimama, akapaza sauti yake akisema, Mtu akiona kiu, na aje kwangu anywe.
Yohana 7:37 ખોજ કરો
3
Yohana 7:39
Na neno hilo alilisema kuhusu Roho, ambaye wale wamwaminio watampokea baadaye; kwa maana Roho alikuwa hajaja, kwa sababu Yesu alikuwa hajatukuzwa.
Yohana 7:39 ખોજ કરો
4
Yohana 7:24
Basi msihukumu kwa kuangalia kwa nje tu, bali ifanyeni hukumu iliyo ya haki.
Yohana 7:24 ખોજ કરો
5
Yohana 7:18
Yeye anenaye kwa nafsi yake tu hutafuta utukufu wake mwenyewe; bali yeye anayetafuta utukufu wake aliyemtuma, huyo ni wa kweli, wala ndani yake hamna udhalimu.
Yohana 7:18 ખોજ કરો
6
Yohana 7:16
Basi Yesu akawajibu, akasema, Mafunzo yangu si yangu mimi, ila ni yake yeye aliyenituma.
Yohana 7:16 ખોજ કરો
7
Yohana 7:7
Ulimwengu hauwezi kuwachukia ninyi; bali hunichukia mimi, kwa sababu mimi naushuhudia ya kuwa kazi zake ni mbovu.
Yohana 7:7 ખોજ કરો
હોમ
બાઇબલ
યોજનાઓ
વિડિઓઝ